Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 14:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Yesu aliwaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia.

2. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama isingekuwa hivyo, ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi.

3. Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi.

4. Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”

Kusoma sura kamili Yohane 14