Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamekaa kula chakula cha jioni. Ibilisi alikwisha mtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, nia ya kumsaliti Yesu.

Kusoma sura kamili Yohane 13

Mtazamo Yohane 13:2 katika mazingira