Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 12:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Wayahudi wengi walisikia kwamba Yesu alikuwa Bethania. Basi, wakafika huko si tu kwa ajili ya kumwona Yesu, ila pia wapate kumwona Lazaro ambaye Yesu alimfufua kutoka kwa wafu.

Kusoma sura kamili Yohane 12

Mtazamo Yohane 12:9 katika mazingira