Agano la Kale

Agano Jipya

Yakobo 5:17-19 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Elia alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwa moyo mvua isinyeshe, nayo haikunyesha nchini kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita.

18. Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.

19. Ndugu zangu, mmoja wenu akipotoka kuhusu ukweli, na mwingine akamrudisha,

Kusoma sura kamili Yakobo 5