Agano la Kale

Agano Jipya

Yakobo 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndugu, msilaumiane nyinyi kwa nyinyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu sheria. Kama ukiihukumu sheria, basi, wewe huitii sheria, bali waihukumu.

Kusoma sura kamili Yakobo 4

Mtazamo Yakobo 4:11 katika mazingira