Agano la Kale

Agano Jipya

Yakobo 1:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.

15. Tamaa ikiiva huzaa dhambi; nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo.

16. Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike!

Kusoma sura kamili Yakobo 1