Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 8:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu ametekeleza jambo lile ambalo sheria haikuweza kutekeleza kwa sababu ya udhaifu wa binadamu. Mungu alimtuma Mwanae akiwa mwenye mwili sawa na miili yetu sisi wenye dhambi, ili aikabili dhambi, na kwa mwili huo akaiangamiza dhambi.

Kusoma sura kamili Waroma 8

Mtazamo Waroma 8:3 katika mazingira