Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 8:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa maana, kama mkiishi kufuatana na matakwa ya maumbile ya kibinadamu, hakika mtakufa. Lakini, kama kwa njia ya Roho mnayaua matendo yenu maovu, basi, mtaishi.

Kusoma sura kamili Waroma 8

Mtazamo Waroma 8:13 katika mazingira