Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 7:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, tuseme basi, kwamba sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama sheria isingalikuwa imesema: “Usitamani.”

Kusoma sura kamili Waroma 7

Mtazamo Waroma 7:7 katika mazingira