Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 6:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Wala msitoe hata sehemu moja ya miili yenu iwe chombo cha kutenda uovu na dhambi. Badala yake, jitoleeni nyinyi wenyewe kwa Mungu kama watu waliofufuliwa kutoka kwa wafu; toeni nafsi zenu zote kwa Mungu kwa ajili ya uadilifu.

Kusoma sura kamili Waroma 6

Mtazamo Waroma 6:13 katika mazingira