Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 4:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, hiyo ni kwa wale waliotahiriwa tu, ama pia kwa wale wasiotahiriwa? Ni kwa wale wasiotahiriwa pia. Kwa maana tumekwisha sema: “Abrahamu aliamini, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.”

Kusoma sura kamili Waroma 4

Mtazamo Waroma 4:9 katika mazingira