Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 4:23-25 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

24. Jambo hili linatuhusu sisi pia ambao tunamwamini Mungu aliyemfufua Yesu, Bwana wetu, kutoka kwa wafu.

25. Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tufanywe waadilifu.

Kusoma sura kamili Waroma 4