Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 4:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi hiyo yatokana na neema ya Mungu, na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo ni kwa ajili ya wote: Si kwa wale tu wanaoishika sheria, bali pia kwa wale waishio kwa imani kama Abrahamu. Yeye ni baba yetu sisi sote.

Kusoma sura kamili Waroma 4

Mtazamo Waroma 4:16 katika mazingira