Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 4:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu alimwahidi Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii sheria, bali kwa kuwa aliamini, akakubaliwa kuwa mwadilifu.

Kusoma sura kamili Waroma 4

Mtazamo Waroma 4:13 katika mazingira