Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba Mungu alimkubali kuwa mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. Kwa hiyo, Abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa hawakutahiriwa, wamemwamini Mungu, wakafanywa waadilifu.

Kusoma sura kamili Waroma 4

Mtazamo Waroma 4:11 katika mazingira