Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 4:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?

2. Kama Abrahamu alikuwa amefanywa mwadilifu kutokana na bidii yake, basi, anacho kitu cha kujivunia mbele ya Mungu.

3. Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.”

4. Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Kusoma sura kamili Waroma 4