Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 2:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Myahudi wa kweli ni yule aliye Myahudi kwa ndani, yaani yule ambaye ametahiriwa moyoni. Hili ni jambo la Roho, na si jambo la maandishi ya sheria. Mtu wa namna hiyo anapata sifa, si kutoka kwa watu, bali kutoka kwa Mungu.

Kusoma sura kamili Waroma 2

Mtazamo Waroma 2:29 katika mazingira