Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 2:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, rafiki, kama unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea, hata kama wewe ni nani. Kwa maana, kwa kuwahukumu wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe unayafanya mambo yaleyale unayohukumu.

Kusoma sura kamili Waroma 2

Mtazamo Waroma 2:1 katika mazingira