Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa ajili ya kumtukuza Mungu; naye anayekula chakula fulani anafanya hivyo kwa kumtukuza Bwana maana anamshukuru Mungu. Kadhalika naye anayeacha kula chakula fulani anafanya hivyo kwa ajili ya kumtukuza Bwana, naye pia anamshukuru Mungu.

Kusoma sura kamili Waroma 14

Mtazamo Waroma 14:6 katika mazingira