Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 14:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu hutofautiana: Mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani.

Kusoma sura kamili Waroma 14

Mtazamo Waroma 14:2 katika mazingira