Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 13:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu.

2. Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe.

Kusoma sura kamili Waroma 13