Agano la Kale

Agano Jipya

Waroma 12:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenye kipaji cha kuwafariji wengine na afanye hivyo. Mwenye kumgawia mwenzake alicho nacho na afanye hivyo kwa ukarimu. Msimamizi na asimamie kwa bidii; naye mwenye kutenda jambo la huruma na afanye hivyo kwa furaha.

Kusoma sura kamili Waroma 12

Mtazamo Waroma 12:8 katika mazingira