Agano la Kale

Agano Jipya

Wakolosai 3:1-6 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.

2. Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.

3. Maana nyinyi mmekufa na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.

4. Uhai wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.

5. Basi, ueni chochote kilicho ndani yenu ambacho ni cha kidunia: Uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu).

6. Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.

Kusoma sura kamili Wakolosai 3