Agano la Kale

Agano Jipya

Wakolosai 2:21-23 Biblia Habari Njema (BHN)

21. “Msishike hiki,” “Msionje kile,” “Msiguse kile!”

22. Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.

23. Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima kwa namna ya ibada wanayojishurutishia, unyenyekevu, na kuutendea mwili kwa ukali; lakini hayafai chochote kuzuia tamaa za mwili.

Kusoma sura kamili Wakolosai 2