Agano la Kale

Agano Jipya

Wakolosai 2:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.

Kusoma sura kamili Wakolosai 2

Mtazamo Wakolosai 2:2 katika mazingira