Agano la Kale

Agano Jipya

Wagalatia 3:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Ya nini basi, sheria? Iliongezwa hapo ili kuonesha uhalifu ni kitu gani, mpaka atakapokuja yule mzawa wa Abrahamu aliyepewa ile ahadi. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi.

Kusoma sura kamili Wagalatia 3

Mtazamo Wagalatia 3:19 katika mazingira