Agano la Kale

Agano Jipya

Wagalatia 2:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yakobo, Kefa na Yohane, ambao waonekana kuwa viongozi wakuu, walitambua kwamba Mungu alinijalia neema hiyo, wakatushika sisi mkono, yaani Barnaba na mimi, iwe ishara ya ushirikiano. Sisi ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu wa mataifa mengine, na wao kati ya Wayahudi.

Kusoma sura kamili Wagalatia 2

Mtazamo Wagalatia 2:9 katika mazingira