Agano la Kale

Agano Jipya

Wafilipi 3:11-13 Biblia Habari Njema (BHN)

11. nikitumaini kwamba nami pia nitafufuliwa kutoka kwa wafu.

12. Sijidai kwamba nimekwisha faulu au nimekwisha kuwa mkamilifu. Naendelea kujitahidi kupata lile tuzo ambalo kwalo Kristo amekwisha nipata mimi.

13. Ama kweli, ndugu zangu, sidhani kuwa nimekwisha pata tuzo hilo; lakini jambo moja nafanya: Nayasahau yale yaliyopita na kufanya bidii kuyazingatia yale yaliyo mbele.

Kusoma sura kamili Wafilipi 3