Agano la Kale

Agano Jipya

Waefeso 6:7-10 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Muwe radhi kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu.

8. Kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa au mtu huru, atapokea tuzo lake kutoka kwa Bwana.

9. Nanyi mnaotumikiwa, watendeeni vivyo hivyo watumwa wenu, na acheni kutumia vitisho. Kumbukeni kwamba nyinyi pia kama vile wao, mnaye Bwana yuleyule mbinguni, naye hatendi kwa ubaguzi.

10. Hatimaye, nawatakeni muwe imara katika kuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu.

Kusoma sura kamili Waefeso 6