Agano la Kale

Agano Jipya

Waefeso 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Msikubali kudanganywa na mtu kwa maneno matupu; maana, kwa sababu ya mambo kama hayo ghadhabu ya Mungu huwajia wote wasiomtii.

Kusoma sura kamili Waefeso 5

Mtazamo Waefeso 5:6 katika mazingira