12. Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
13. Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
14. na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema:“Amka wewe uliyelala,fufuka kutoka kwa wafu,naye Kristo atakuangaza.”
15. Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi. Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima.