Agano la Kale

Agano Jipya

Waefeso 5:12-15 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.

13. Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;

14. na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema:“Amka wewe uliyelala,fufuka kutoka kwa wafu,naye Kristo atakuangaza.”

15. Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi. Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima.

Kusoma sura kamili Waefeso 5