Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 9:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika na kuwa safi waliponyunyiziwa damu ya mbuzi na ya ng'ombe pamoja na majivu ya ndama.

Kusoma sura kamili Waebrania 9

Mtazamo Waebrania 9:13 katika mazingira