Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 11:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu ya mambo ya baadaye ambayo hayakuwa yameonekana bado. Alimtii Mungu, akajenga ile safina ambamo aliokolewa yeye pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea uadilifu unaotokana na imani.

Kusoma sura kamili Waebrania 11

Mtazamo Waebrania 11:7 katika mazingira