Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 22:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika. Bwana Mungu ambaye huwapa manabii Roho wake, alimtuma malaika wake awaoneshe watumishi wake mambo ambayo lazima yatukie punde.

Kusoma sura kamili Ufunuo 22

Mtazamo Ufunuo 22:6 katika mazingira