Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 22:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.”

Kusoma sura kamili Ufunuo 22

Mtazamo Ufunuo 22:11 katika mazingira