Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 16:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Mji ule mkuu ukapasuliwa sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikateketea. Babuloni, mji mkuu, haukusahauliwa na Mungu. Aliunywesha kikombe cha divai ya ghadhabu ya hasira yake.

Kusoma sura kamili Ufunuo 16

Mtazamo Ufunuo 16:19 katika mazingira