Agano la Kale

Agano Jipya

Tito 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Jambo hili ni kweli.Ninakutaka uyatilie mkazo mambo haya, ili wale wanaomwamini Mungu wawe na hamu ya kuutumia wakati wao katika kutenda mema, yaani mambo mazuri na ya kuwafaa watu.

Kusoma sura kamili Tito 3

Mtazamo Tito 3:8 katika mazingira