Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 6:16 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Nawaambieni kweli, hao wamekwisha pata tuzo lao.

Kusoma sura kamili Mathayo 6

Mtazamo Mathayo 6:16 katika mazingira