Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 5:47-48 Biblia Habari Njema (BHN)

47. Kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya kitu kisicho cha kawaida? Hata watu wasiomjua Mungu nao hufanya vivyo hivyo.

48. Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.

Kusoma sura kamili Mathayo 5