Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 5:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote, na kuwafundisha wengine wafanye hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, huyo atakuwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.

Kusoma sura kamili Mathayo 5

Mtazamo Mathayo 5:19 katika mazingira