Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 27:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, “Haifai kuziweka katika hazina ya hekalu kwa maana ni fedha za damu.”

Kusoma sura kamili Mathayo 27

Mtazamo Mathayo 27:6 katika mazingira