Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 26:47 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yesu alipokuwa bado anasema nao, mara akaja Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili. Pamoja naye walikuja watu wengi wenye mapanga na marungu ambao walitumwa na makuhani wakuu na wazee wa watu.

Kusoma sura kamili Mathayo 26

Mtazamo Mathayo 26:47 katika mazingira