Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 21:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu akasema, “Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. Kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda hadi nchi ya mbali.

Kusoma sura kamili Mathayo 21

Mtazamo Mathayo 21:33 katika mazingira