Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 16:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Na alfajiri mwasema: ‘Leo hali ya hewa itakuwa ya dhoruba, maana anga ni jekundu na tena mawingu yametanda!’ Basi, nyinyi mnajua sana kusoma majira kwa kuangalia hali ya anga, lakini kutambua dalili za nyakati hizi hamjui.]

Kusoma sura kamili Mathayo 16

Mtazamo Mathayo 16:3 katika mazingira