Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 16:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwajulisha waziwazi wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu, na huko kupata mateso mengi yatakayosababishwa na wazee, makuhani wakuu na waalimu wa sheria. Kwamba, atauawa na siku ya tatu atafufuliwa.

Kusoma sura kamili Mathayo 16

Mtazamo Mathayo 16:21 katika mazingira