Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 14:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akavibariki. Halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.

Kusoma sura kamili Mathayo 14

Mtazamo Mathayo 14:19 katika mazingira