Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 10:3-5 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Filipo na Bartholomayo, Thoma na Mathayo aliyekuwa mtozaushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo;

4. Simoni Mkanaani, na Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

5. Yesu aliwatuma hao kumi na wawili na kuwapa maagizo haya: “Msiende kwa watu wa mataifa mengine, wala msiingie katika miji ya Wasamaria.

Kusoma sura kamili Mathayo 10