Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 9:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote waliomsikia walishangaa, wakasema, “Je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua wale waliokuwa wanaomba kwa jina hili kule Yerusalemu? Tena alikuja hapa akiwa na madhumuni ya kuwatia nguvuni watu hao na kuwapeleka kwa makuhani!”

Kusoma sura kamili Matendo 9

Mtazamo Matendo 9:21 katika mazingira