Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 8:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo Mwethiopia akamwambia Filipo, “Niambie, huyu nabii anasema juu ya nini? Anasema mambo haya juu yake yeye mwenyewe au juu ya mtu mwingine?”

Kusoma sura kamili Matendo 8

Mtazamo Matendo 8:34 katika mazingira