Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 7:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Mungu akafanya naye agano ambalo tohara ni ishara yake. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka siku ya nane baada ya kuzaliwa. Na Isaka, vivyo hivyo, alimtahiri Yakobo. Naye Yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo.

Kusoma sura kamili Matendo 7

Mtazamo Matendo 7:8 katika mazingira